All Surahs

Surah Al-Muddaththir (undefined)

سُورَةُ المُدَّثِّرِ

Surah 74 of the Holy Quran · Meccan · 56 verses

Also spelled: Muddaththir, Al Muddaththir, AlMuddaththir, The Cloaked One, Al-Mudathir

Surah Al-Muddaththir (undefined) is the 74th chapter of the Holy Quran. It was revealed in Mecca and contains 56 verses (ayahs). Read it below with the Arabic text, transliteration, and Swahili translation, or open it as interactive flashcards to memorize it verse by verse.

  1. 74:1

    يَٰٓأَيُّهَا ٱلْمُدَّثِّرُ

    Yaaa ayyuhal muddassir

    Ewe uliye jigubika!

  2. 74:2

    قُمْ فَأَنذِرْ

    Qum fa anzir

    Simama uonye!

  3. 74:3

    وَرَبَّكَ فَكَبِّرْ

    Wa rabbaka fakabbir

    Na Mola wako Mlezi mtukuze!

  4. 74:4

    وَثِيَابَكَ فَطَهِّرْ

    Wa siyaabaka fatahhir

    Na nguo zako, zisafishe.

  5. 74:5

    وَٱلرُّجْزَ فَٱهْجُرْ

    Warrujza fahjur

    Na yaliyo machafu yahame!

  6. 74:6

    وَلَا تَمْنُن تَسْتَكْثِرُ

    Wa laa tamnun tastaksir

    Wala usitoe kwa kutaraji kuzidishiwa.

  7. 74:7

    وَلِرَبِّكَ فَٱصْبِرْ

    Wa li Rabbika fasbir

    Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!

  8. 74:8

    فَإِذَا نُقِرَ فِى ٱلنَّاقُورِ

    Fa izaa nuqira fin naaqoor

    Basi litapo pulizwa barugumu,

  9. 74:9

    فَذَٰلِكَ يَوْمَئِذٍۢ يَوْمٌ عَسِيرٌ

    Fazaalika yawma 'iziny yawmun 'aseer

    Siku hiyo, basi, itakuwa siku ngumu.

  10. 74:10

    عَلَى ٱلْكَٰفِرِينَ غَيْرُ يَسِيرٍۢ

    'Alal kaafireena ghayru yaseer

    Kwa makafiri haitakuwa nyepesi.

  11. 74:11

    ذَرْنِى وَمَنْ خَلَقْتُ وَحِيدًۭا

    Zamee wa man khalaqtu waheedaa

    Niache peke yangu na niliye muumba;

  12. 74:12

    وَجَعَلْتُ لَهُۥ مَالًۭا مَّمْدُودًۭا

    Wa ja'altu lahoo maalam mamdoodaa

    Na nikamjaalia awe na mali mengi,

  13. 74:13

    وَبَنِينَ شُهُودًۭا

    Wa baneena shuhoodaa

    Na wana wanao onekana,

  14. 74:14

    وَمَهَّدتُّ لَهُۥ تَمْهِيدًۭا

    Wa mahhattu lahoo tamheeda

    Na nikamtgenezea mambo vizuri kabisa.

  15. 74:15

    ثُمَّ يَطْمَعُ أَنْ أَزِيدَ

    Summa yat ma'u an azeed

    Kisha anatumai nimzidishie!

  16. 74:16

    كَلَّآ ۖ إِنَّهُۥ كَانَ لِءَايَٰتِنَا عَنِيدًۭا

    Kallaaa innahoo kaana li Aayaatinaa 'aneedaa

    Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!

  17. 74:17

    سَأُرْهِقُهُۥ صَعُودًا

    Sa urhiquhoo sa'oodaa

    Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.

  18. 74:18

    إِنَّهُۥ فَكَّرَ وَقَدَّرَ

    Innahoo fakkara wa qaddar

    Kwani hakika yeye alifikiri na akapima.

  19. 74:19

    فَقُتِلَ كَيْفَ قَدَّرَ

    Faqutila kayfa qaddar

    Basi ameangamia! Vipi alivyo pima!

  20. 74:20

    ثُمَّ قُتِلَ كَيْفَ قَدَّرَ

    Summa qutila kaifa qaddar

    Tena ameangamia! Vipi alivyo pima!

  21. 74:21

    ثُمَّ نَظَرَ

    Summa nazar

    Kisha akatazama,

  22. 74:22

    ثُمَّ عَبَسَ وَبَسَرَ

    Summa 'abasa wa basar

    Kisha akakunja kipaji, na akanuna.

  23. 74:23

    ثُمَّ أَدْبَرَ وَٱسْتَكْبَرَ

    Summaa adbara wastakbar

    Kisha akaipa kisogo haki, na akatakabari.

  24. 74:24

    فَقَالَ إِنْ هَٰذَآ إِلَّا سِحْرٌۭ يُؤْثَرُ

    Faqaala in haazaaa illaa sihruny yu'sar

    Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.

  25. 74:25

    إِنْ هَٰذَآ إِلَّا قَوْلُ ٱلْبَشَرِ

    In haazaaa illaa qawlul bashar

    Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.

  26. 74:26

    سَأُصْلِيهِ سَقَرَ

    Sa usleehi saqar

    Nitakuja mtia kwenye Moto wa Saqar.

  27. 74:27

    وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا سَقَرُ

    Wa maaa adraaka maa saqar

    Na nini kitakujuulisha ni nini huo Moto wa Saqar?

  28. 74:28

    لَا تُبْقِى وَلَا تَذَرُ

    Laa tubqee wa laa tazar

    Haubakishi wala hausazi.

  29. 74:29

    لَوَّاحَةٌۭ لِّلْبَشَرِ

    Lawwaahatul lilbashar

    Unababua ngozi iwe nyeusi.

  30. 74:30

    عَلَيْهَا تِسْعَةَ عَشَرَ

    'Alaihaa tis'ata 'ashar

    Juu yake wapo kumi na tisa.

  31. 74:31

    وَمَا جَعَلْنَآ أَصْحَٰبَ ٱلنَّارِ إِلَّا مَلَٰٓئِكَةًۭ ۙ وَمَا جَعَلْنَا عِدَّتَهُمْ إِلَّا فِتْنَةًۭ لِّلَّذِينَ كَفَرُوا۟ لِيَسْتَيْقِنَ ٱلَّذِينَ أُوتُوا۟ ٱلْكِتَٰبَ وَيَزْدَادَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوٓا۟ إِيمَٰنًۭا ۙ وَلَا يَرْتَابَ ٱلَّذِينَ أُوتُوا۟ ٱلْكِتَٰبَ وَٱلْمُؤْمِنُونَ ۙ وَلِيَقُولَ ٱلَّذِينَ فِى قُلُوبِهِم مَّرَضٌۭ وَٱلْكَٰفِرُونَ مَاذَآ أَرَادَ ٱللَّهُ بِهَٰذَا مَثَلًۭا ۚ كَذَٰلِكَ يُضِلُّ ٱللَّهُ مَن يَشَآءُ وَيَهْدِى مَن يَشَآءُ ۚ وَمَا يَعْلَمُ جُنُودَ رَبِّكَ إِلَّا هُوَ ۚ وَمَا هِىَ إِلَّا ذِكْرَىٰ لِلْبَشَرِ

    Wa maaja''alnaaa As haaban naari illaa malaaa 'ikatanw wa maa ja'alnaa 'iddatahum illaa fitnatal lillazeena kafaroo liyastayqinal lazeena ootul kitaaba wa yazdaadal lazeena aamanooo eemaananw wa laa yartaabal lazeena ootul kitaaba walmu'minoona wa liyaqoolal lazeena fee quloo bihim maradunw walkaafiroona maazaaa araadal laahu bihaazaa masalaa; kazaalika yudillul laahu many yashaaa'u wa yahdee many yashaaa'; wa maa ya'lamu junooda rabbika illaa hoo; wa maa hiya illaa zikraa lil bashar

    Na hatukuwafanya walinzi wa Motoni ila ni Malaika, wala hatukuifanya idadi yao hiyo ila kuwatatanisha walio kufuru, wapate kuwa na yakini walio pewa Kitabu, na wazidi Imani wale walio amini, wala wasiwe na shaka walio pewa Kitabu na Waumini, na wapate kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: Mwenyezi Mungu amekusudia nini kwa mfano huu? Ndio kama hivyo Mwenyezi Mungu humwacha apotee amtakaye, na humwongoa amtakaye. Na hapana yeyote anaye jua majeshi ya Mola wako Mlezi ila Yeye tu. Na haya si chochote ila ni ukumbusho kwa binaadamu.

  32. 74:32

    كَلَّا وَٱلْقَمَرِ

    Kallaa walqamar

    Hasha! Naapa kwa mwezi!

  33. 74:33

    وَٱلَّيْلِ إِذْ أَدْبَرَ

    Wallaili adbar

    Na kwa usiku unapo kucha!

  34. 74:34

    وَٱلصُّبْحِ إِذَآ أَسْفَرَ

    Wassub hi izaaa asfar

    Na kwa asubuhi inapo pambazuka!

  35. 74:35

    إِنَّهَا لَإِحْدَى ٱلْكُبَرِ

    Innahaa la ihdal kubar

    Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!

  36. 74:36

    نَذِيرًۭا لِّلْبَشَرِ

    Nazeeral lilbashar

    Ni onyo kwa binaadamu,

  37. 74:37

    لِمَن شَآءَ مِنكُمْ أَن يَتَقَدَّمَ أَوْ يَتَأَخَّرَ

    Liman shaaa'a minkum any yataqaddama aw yata akhkhar

    Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa.

  38. 74:38

    كُلُّ نَفْسٍۭ بِمَا كَسَبَتْ رَهِينَةٌ

    Kullu nafsim bim kasabat raheenah

    Kila nafsi imo rahanini kwa mabaya iliyo yachuma.

  39. 74:39

    إِلَّآ أَصْحَٰبَ ٱلْيَمِينِ

    Illaaa as haabal yameen

    Isipo kuwa watu wa kuliani.

  40. 74:40

    فِى جَنَّٰتٍۢ يَتَسَآءَلُونَ

    Fee jannaatiny yata saaa'aloon

    Hao watakuwa katika Mabustani, wawe wanaulizana

  41. 74:41

    عَنِ ٱلْمُجْرِمِينَ

    'Anil mujrimeen

    Khabari za wakosefu:

  42. 74:42

    مَا سَلَكَكُمْ فِى سَقَرَ

    Maa salakakum fee saqar

    Ni nini kilicho kupelekeni Motoni?

  43. 74:43

    قَالُوا۟ لَمْ نَكُ مِنَ ٱلْمُصَلِّينَ

    Qaaloo lam naku minal musalleen

    Waseme: Hatukuwa miongoni walio kuwa wakisali.

  44. 74:44

    وَلَمْ نَكُ نُطْعِمُ ٱلْمِسْكِينَ

    Wa lam naku nut'imul miskeen

    Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.

  45. 74:45

    وَكُنَّا نَخُوضُ مَعَ ٱلْخَآئِضِينَ

    Wa kunnaa nakhoodu ma'al khaaa'ideen

    Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.

  46. 74:46

    وَكُنَّا نُكَذِّبُ بِيَوْمِ ٱلدِّينِ

    Wa kunnaa nukazzibu bi yawmid Deen

    Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.

  47. 74:47

    حَتَّىٰٓ أَتَىٰنَا ٱلْيَقِينُ

    Hattaaa ataanal yaqeen

    Mpaka yakini ilipo tufikia.

  48. 74:48

    فَمَا تَنفَعُهُمْ شَفَٰعَةُ ٱلشَّٰفِعِينَ

    Famaa tanfa'uhum shafaa'atush shaafi'een

    Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.

  49. 74:49

    فَمَا لَهُمْ عَنِ ٱلتَّذْكِرَةِ مُعْرِضِينَ

    Famaa lahum 'anittazkirati mu'rideen

    Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?

  50. 74:50

    كَأَنَّهُمْ حُمُرٌۭ مُّسْتَنفِرَةٌۭ

    Ka annahum humurum mustanfirah

    Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,

  51. 74:51

    فَرَّتْ مِن قَسْوَرَةٍۭ

    Farrat min qaswarah

    Wanao mkimbia simba!

  52. 74:52

    بَلْ يُرِيدُ كُلُّ ٱمْرِئٍۢ مِّنْهُمْ أَن يُؤْتَىٰ صُحُفًۭا مُّنَشَّرَةًۭ

    Bal yureedu kullum ri'im minhum any yu'taa suhufam munashsharah

    Ati kila mmoja katika wao anataka apewe nyaraka zilizo funuliwa.

  53. 74:53

    كَلَّا ۖ بَل لَّا يَخَافُونَ ٱلْءَاخِرَةَ

    Kallaa bal laa yakhaafoonal aakhirah

    Hasha! Kwani wao hawaiogopi Akhera?

  54. 74:54

    كَلَّآ إِنَّهُۥ تَذْكِرَةٌۭ

    Kallaaa innahoo tazkirah

    Hasha! Kwa hakika huu ni ukumbusho!

  55. 74:55

    فَمَن شَآءَ ذَكَرَهُۥ

    Fa man shaaa'a zakarah

    Basi anaye taka atakumbuka.

  56. 74:56

    وَمَا يَذْكُرُونَ إِلَّآ أَن يَشَآءَ ٱللَّهُ ۚ هُوَ أَهْلُ ٱلتَّقْوَىٰ وَأَهْلُ ٱلْمَغْفِرَةِ

    Wa maa yazkuroona illaaa any yashaaa'al laah; Huwa ahlut taqwaa wa ahlul maghfirah

    Na hawatakumbuka isipo kuwa Mwenyezi Mungu atake. Uchamngu ni kwake Yeye, na msamaha ni wake Yeye.

About Surah Al-Muddaththir

Al-Muddaththir, the Cloaked One, contains some of the earliest revelation, calling the Prophet (peace be upon him) to rise and warn, to magnify his Lord, and to keep himself pure. It warns the arrogant who plotted against the message and describes the regret of those who neglected prayer and feeding the poor.

Themes: The call to warn, Purity, Arrogance and its end, Prayer and charity

Arabic: Uthmani script (Hafs). Translation: Swahili. Recitation: Mishary Rashid Alafasy. See Sources for full attribution.