All Surahs

Surah Al-Muzzammil (undefined)

سُورَةُ المُزَّمِّلِ

Surah 73 of the Holy Quran · Meccan · 20 verses

Also spelled: Muzzammil, Al Muzzammil, AlMuzzammil, The Enshrouded One, Al-Muzammil

Surah Al-Muzzammil (undefined) is the 73th chapter of the Holy Quran. It was revealed in Mecca and contains 20 verses (ayahs). Read it below with the Arabic text, transliteration, and Swahili translation, or open it as interactive flashcards to memorize it verse by verse.

  1. 73:1

    يَٰٓأَيُّهَا ٱلْمُزَّمِّلُ

    Yaw ayyuhal muzzammil

    Ewe uliye jifunika!

  2. 73:2

    قُمِ ٱلَّيْلَ إِلَّا قَلِيلًۭا

    Qumil laila illaa qaleelaa

    Kesha usiku kucha, ila kidogo tu!

  3. 73:3

    نِّصْفَهُۥٓ أَوِ ٱنقُصْ مِنْهُ قَلِيلًا

    Nisfahooo awinqus minhu qaleelaa

    Nusu yake, au ipunguze kidogo.

  4. 73:4

    أَوْ زِدْ عَلَيْهِ وَرَتِّلِ ٱلْقُرْءَانَ تَرْتِيلًا

    Aw zid 'alaihi wa rattilil Qur'aana tarteela

    Au izidishe - na soma Qur'ani kwa utaratibu na utungo.

  5. 73:5

    إِنَّا سَنُلْقِى عَلَيْكَ قَوْلًۭا ثَقِيلًا

    Innaa sanulqee 'alika qawalan saqeelaa

    Hakika Sisi tutakuteremshia kauli nzito.

  6. 73:6

    إِنَّ نَاشِئَةَ ٱلَّيْلِ هِىَ أَشَدُّ وَطْـًۭٔا وَأَقْوَمُ قِيلًا

    Inn naashi'atal laili hiya ashadddu wat anw wa aqwamu qeelaa

    Hakika kuamka usiku kunawafikiana zaidi na moyo, na maneno yake yanatua zaidi.

  7. 73:7

    إِنَّ لَكَ فِى ٱلنَّهَارِ سَبْحًۭا طَوِيلًۭا

    Inna laka fin nahaari sabhan taweelaa

    Kwani hakika mchana una shughuli nyingi.

  8. 73:8

    وَٱذْكُرِ ٱسْمَ رَبِّكَ وَتَبَتَّلْ إِلَيْهِ تَبْتِيلًۭا

    Wazkuris ma rabbika wa tabattal ilaihi tabteelaa

    Na lidhukuru jina la Mola wako Mlezi, na ujitolee kwake kwa ukamilifu.

  9. 73:9

    رَّبُّ ٱلْمَشْرِقِ وَٱلْمَغْرِبِ لَآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ فَٱتَّخِذْهُ وَكِيلًۭا

    Rabbul mashriqi wal maghriibi laaa ilaaha illaa Huwa fattakhizhu wakeelaa

    Mola Mlezi wa mashariki na magharibi, hapana mungu isipo kuwa Yeye, basi mfanye kuwa Mtegemewa wako.

  10. 73:10

    وَٱصْبِرْ عَلَىٰ مَا يَقُولُونَ وَٱهْجُرْهُمْ هَجْرًۭا جَمِيلًۭا

    Wasbir 'alaa maa yaqoo loona wahjurhum hajran jameelaa

    Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.

  11. 73:11

    وَذَرْنِى وَٱلْمُكَذِّبِينَ أُو۟لِى ٱلنَّعْمَةِ وَمَهِّلْهُمْ قَلِيلًا

    Wa zarnee walmukaz zibeena ulin na'mati wa mahhilhum qaleelaa

    Na niache Mimi na hao wanao kanusha, walio neemeka; na wape muhula kidogo!

  12. 73:12

    إِنَّ لَدَيْنَآ أَنكَالًۭا وَجَحِيمًۭا

    Inna ladainaaa ankaalanw wa jaheemaa

    Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa ukali kabisa!

  13. 73:13

    وَطَعَامًۭا ذَا غُصَّةٍۢ وَعَذَابًا أَلِيمًۭا

    Wa ta'aaman zaa ghussa tinw wa'azaaban aleemaa

    Na chakula kinacho kwama kooni, na adhabu inayo umiza.

  14. 73:14

    يَوْمَ تَرْجُفُ ٱلْأَرْضُ وَٱلْجِبَالُ وَكَانَتِ ٱلْجِبَالُ كَثِيبًۭا مَّهِيلًا

    Yawma tarjuful ardu waljibaalu wa kaanatil jibaalu kaseebam maheelaa

    Siku ambayo ardhi itatikiswa na milima pia, na milima itakuwa kama tifutifu la mchanga!

  15. 73:15

    إِنَّآ أَرْسَلْنَآ إِلَيْكُمْ رَسُولًۭا شَٰهِدًا عَلَيْكُمْ كَمَآ أَرْسَلْنَآ إِلَىٰ فِرْعَوْنَ رَسُولًۭا

    Innaa arsalnaaa ilaikum rasoolan shahidan 'alikum kamaaa arsalnaaa ilaa Fir'awna Rasoolna

    Hakika Sisi tumemtuma kwenu Mtume aliye shahidi juu yenu, kama tulivyo mtuma Mtume kwa Firauni.

  16. 73:16

    فَعَصَىٰ فِرْعَوْنُ ٱلرَّسُولَ فَأَخَذْنَٰهُ أَخْذًۭا وَبِيلًۭا

    Fa'asaa Fir'awnur Rasoola fa akhaznaahu akhzanw wabeelaa

    Lakini Firauni alimuasi huyo Mtume, basi tukamshika mshiko wa mateso.

  17. 73:17

    فَكَيْفَ تَتَّقُونَ إِن كَفَرْتُمْ يَوْمًۭا يَجْعَلُ ٱلْوِلْدَٰنَ شِيبًا

    Fakaifa tattaqoona in kafartum yawmany yaj'alul wildaana sheeba

    Basi nyinyi mkikufuru, mtawezaje kujikinga na Siku ambayo itawafanya watoto wadogo waote mvi?

  18. 73:18

    ٱلسَّمَآءُ مُنفَطِرٌۢ بِهِۦ ۚ كَانَ وَعْدُهُۥ مَفْعُولًا

    Assamaaa'u munfatirum bih; kaana wa'duhoo maf'oola

    Hapo mbingu zitapasuka! Ahadi yake itakuwa imetekelezwa.

  19. 73:19

    إِنَّ هَٰذِهِۦ تَذْكِرَةٌۭ ۖ فَمَن شَآءَ ٱتَّخَذَ إِلَىٰ رَبِّهِۦ سَبِيلًا

    Inna haazihee tazkiratun fa man shaaa'at takhaza ilaa Rabbihee sabeelaa

    Kwa hakika hili ni kumbusho. Mwenye kutaka atashika njia ya kwendea kwa Mola wake Mlezi.

  20. 73:20

    ۞ إِنَّ رَبَّكَ يَعْلَمُ أَنَّكَ تَقُومُ أَدْنَىٰ مِن ثُلُثَىِ ٱلَّيْلِ وَنِصْفَهُۥ وَثُلُثَهُۥ وَطَآئِفَةٌۭ مِّنَ ٱلَّذِينَ مَعَكَ ۚ وَٱللَّهُ يُقَدِّرُ ٱلَّيْلَ وَٱلنَّهَارَ ۚ عَلِمَ أَن لَّن تُحْصُوهُ فَتَابَ عَلَيْكُمْ ۖ فَٱقْرَءُوا۟ مَا تَيَسَّرَ مِنَ ٱلْقُرْءَانِ ۚ عَلِمَ أَن سَيَكُونُ مِنكُم مَّرْضَىٰ ۙ وَءَاخَرُونَ يَضْرِبُونَ فِى ٱلْأَرْضِ يَبْتَغُونَ مِن فَضْلِ ٱللَّهِ ۙ وَءَاخَرُونَ يُقَٰتِلُونَ فِى سَبِيلِ ٱللَّهِ ۖ فَٱقْرَءُوا۟ مَا تَيَسَّرَ مِنْهُ ۚ وَأَقِيمُوا۟ ٱلصَّلَوٰةَ وَءَاتُوا۟ ٱلزَّكَوٰةَ وَأَقْرِضُوا۟ ٱللَّهَ قَرْضًا حَسَنًۭا ۚ وَمَا تُقَدِّمُوا۟ لِأَنفُسِكُم مِّنْ خَيْرٍۢ تَجِدُوهُ عِندَ ٱللَّهِ هُوَ خَيْرًۭا وَأَعْظَمَ أَجْرًۭا ۚ وَٱسْتَغْفِرُوا۟ ٱللَّهَ ۖ إِنَّ ٱللَّهَ غَفُورٌۭ رَّحِيمٌۢ

    Inna Rabbaka ya'lamu annaka taqoomu adnaa min sulusa yil laili wa nisfahoo wa sulusahoo wa taaa'ifatum minal lazeena ma'ak; wal laahu yuqaddirul laila wanna haar; 'alima al lan tuhsoohu fataaba 'alaikum faqra'oo maa tayassara minal quraan; 'alima an sa yakoonu minkum mardaa wa aakharoona yadriboona fil ardi yabtaghoona min fadlil laahi wa aakharoona yuqaatiloona fee sabeelil laahi faqra'oo ma tayassara minhu wa aqeemus salaata wa aatuz zakaata wa aqridul laaha qardan hasanaa; wa maa tuqadimoo li anfusikum min khairin tajidoohu 'indal laahi huwa khayranw wa a'zama ajraa; wastaghfirul laahaa innal laaha ghafoorur raheem.

    Hakika Mola wako Mlezi anajua ya kuwa hakika wewe unakesha karibu na thuluthi mbili za usiku, na nusu yake, na thuluthi yake. Na baadhi ya watu walio pamoja nawe kadhaalika. Na Mwenyezi Mungu ndiye anaye ukadiria usiku na mchana. Anajua kuwa hamwezi kuweka hisabu, basi amekusameheni. Basi someni kilicho chepesi katika Qur'ani. Anajua ya kuwa baadhi yenu watakuwa wagonjwa, na wengine wanasafiri katika ardhi wakitafuta fadhila ya Mwenyezi Mungu, na wengine wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu. Kwa hivyo someni kilicho chepesi humo, na mshike Sala, na toeni Zaka, na mkopesheni Mwenyezi Mungu mkopo mwema. Na kheri yoyote mnayo itanguliza kwa ajili ya nafsi zenu mtaikuta kwa Mwenyezi Mungu, imekuwa bora zaidi, na ina thawabu kubwa sana. Na mtakeni msamaha Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

About Surah Al-Muzzammil

Al-Muzzammil, the Enshrouded One, gently calls the Prophet (peace be upon him), wrapped in his cloak, to rise for night prayer and recite the Quran with care. It speaks of the weight of the message about to be carried and the strength that comes from standing before Allah in the stillness of the night.

Themes: Night prayer, Reciting the Quran, Spiritual strength, Patience

Arabic: Uthmani script (Hafs). Translation: Swahili. Recitation: Mishary Rashid Alafasy. See Sources for full attribution.