Surah Al-Qari'ah (undefined) is the 101th chapter of the Holy Quran. It was revealed in Mecca and contains 11 verses (ayahs). Read it below with the Arabic text, transliteration, and Swahili translation, or open it as interactive flashcards to memorize it verse by verse.
- 101:1
ٱلْقَارِعَةُ
Al qaari'ah
Inayo gonga!
- 101:2
مَا ٱلْقَارِعَةُ
Mal qaariah
Nini Inayo gonga?
- 101:3
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْقَارِعَةُ
Wa maa adraaka mal qaari'ah
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
- 101:4
يَوْمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلْفَرَاشِ ٱلْمَبْثُوثِ
Yauma ya koonun naasu kal farashil mabthooth
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
- 101:5
وَتَكُونُ ٱلْجِبَالُ كَٱلْعِهْنِ ٱلْمَنفُوشِ
Wa ta koonul jibalu kal 'ihnil manfoosh
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
- 101:6
فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَٰزِينُهُۥ
Fa-amma man thaqulat mawa zeenuh
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
- 101:7
فَهُوَ فِى عِيشَةٍۢ رَّاضِيَةٍۢ
Fahuwa fee 'ishatir raadiyah
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
- 101:8
وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَٰزِينُهُۥ
Wa amma man khaffat mawa zeenuh
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
- 101:9
فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٌۭ
Fa-ummuhu haawiyah
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
- 101:10
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا هِيَهْ
Wa maa adraaka maa hiyah
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
- 101:11
نَارٌ حَامِيَةٌۢ
Naarun hamiyah
Ni Moto mkali!
About Surah Al-Qari'ah
Al-Qari'ah, the Striking Calamity, names one of the terms for the Day of Judgment and pictures people scattered like moths and mountains like carded wool. It describes the weighing of deeds, where the one whose scales are heavy with good lives in a pleasant life, and the one whose scales are light meets a different end.
Themes: The Striking Calamity, The Day of Judgment, Weighing of deeds, Reward and loss
Arabic: Uthmani script (Hafs). Translation: Swahili. Recitation: Mishary Rashid Alafasy. See Sources for full attribution.