Surah Al-Mutaffifin (undefined) is the 83th chapter of the Holy Quran. It was revealed in Mecca and contains 36 verses (ayahs). Read it below with the Arabic text, transliteration, and Swahili translation, or open it as interactive flashcards to memorize it verse by verse.
- 83:1
وَيْلٌۭ لِّلْمُطَفِّفِينَ
Wailul lil mutaffifeen
Ole wao hao wapunjao!
- 83:2
ٱلَّذِينَ إِذَا ٱكْتَالُوا۟ عَلَى ٱلنَّاسِ يَسْتَوْفُونَ
Allazeena izak taaloo 'alan naasi yastawfoon
Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.
- 83:3
وَإِذَا كَالُوهُمْ أَو وَّزَنُوهُمْ يُخْسِرُونَ
Wa izaa kaaloohum aw wazanoohum yukhsiroon
Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.
- 83:4
أَلَا يَظُنُّ أُو۟لَٰٓئِكَ أَنَّهُم مَّبْعُوثُونَ
Alaa yazunnu ulaaa'ika annahum mab'oosoon
Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa
- 83:5
لِيَوْمٍ عَظِيمٍۢ
Li Yawmin 'Azeem
Katika Siku iliyo kuu,
- 83:6
يَوْمَ يَقُومُ ٱلنَّاسُ لِرَبِّ ٱلْعَٰلَمِينَ
Yawma yaqoomun naasu li Rabbil 'aalameen
Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?
- 83:7
كَلَّآ إِنَّ كِتَٰبَ ٱلْفُجَّارِ لَفِى سِجِّينٍۢ
Kallaaa inna kitaabal fujjaari lafee Sijjeen
Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.
- 83:8
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا سِجِّينٌۭ
Wa maa adraaka maa Sijjeen
Unajua nini Sijjin?
- 83:9
كِتَٰبٌۭ مَّرْقُومٌۭ
Kitaabum marqoom
Kitabu kilicho andikwa.
- 83:10
وَيْلٌۭ يَوْمَئِذٍۢ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Wailuny yawma'izil lil mukazzibeen
Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!
- 83:11
ٱلَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ ٱلدِّينِ
Allazeena yukazziboona bi yawmid deen
Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
- 83:12
وَمَا يُكَذِّبُ بِهِۦٓ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Wa maa yukazzibu biheee illaa kullu mu'tadin aseem
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
- 83:13
إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ ءَايَٰتُنَا قَالَ أَسَٰطِيرُ ٱلْأَوَّلِينَ
Izaa tutlaa'alaihi aayaatunaa qaala asaateerul awwaleen
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
- 83:14
كَلَّا ۖ بَلْ ۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُوا۟ يَكْسِبُونَ
Kallaa bal raana 'alaa quloobihim maa kaanoo yaksiboon
Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.
- 83:15
كَلَّآ إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍۢ لَّمَحْجُوبُونَ
Kallaaa innahum 'ar Rabbihim yawma'izil lamah jooboon
Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
- 83:16
ثُمَّ إِنَّهُمْ لَصَالُوا۟ ٱلْجَحِيمِ
Summa innahum lasaa lul jaheem
Kisha wataingia Motoni!
- 83:17
ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا ٱلَّذِى كُنتُم بِهِۦ تُكَذِّبُونَ
Summa yuqaalu haazal lazee kuntum bihee tukazziboon
Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
- 83:18
كَلَّآ إِنَّ كِتَٰبَ ٱلْأَبْرَارِ لَفِى عِلِّيِّينَ
Kallaaa inna kitaabal abraari lafee'Illiyyeen
Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.
- 83:19
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا عِلِّيُّونَ
Wa maaa adraaka maa 'Illiyyoon
Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin?
- 83:20
كِتَٰبٌۭ مَّرْقُومٌۭ
Kitaabum marqoom
Kitabu kilicho andikwa.
- 83:21
يَشْهَدُهُ ٱلْمُقَرَّبُونَ
Yashhadu hul muqarra boon
Wanakishuhudia walio karibishwa.
- 83:22
إِنَّ ٱلْأَبْرَارَ لَفِى نَعِيمٍ
Innal abraara lafee Na'eem
Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema.
- 83:23
عَلَى ٱلْأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ
'Alal araaa'iki yanzuroon
Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.
- 83:24
تَعْرِفُ فِى وُجُوهِهِمْ نَضْرَةَ ٱلنَّعِيمِ
Ta'rifu fee wujoohihim nadratan na'eem
Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema,
- 83:25
يُسْقَوْنَ مِن رَّحِيقٍۢ مَّخْتُومٍ
Yusqawna mir raheeqim makhtoom
Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri,
- 83:26
خِتَٰمُهُۥ مِسْكٌۭ ۚ وَفِى ذَٰلِكَ فَلْيَتَنَافَسِ ٱلْمُتَنَٰفِسُونَ
Khitaamuhoo misk; wa fee zaalika falyatanaafasil Mutanaafisoon
Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.
- 83:27
وَمِزَاجُهُۥ مِن تَسْنِيمٍ
Wa mizaajuhoo min Tasneem
Na mchanganyiko wake ni Tasniim,
- 83:28
عَيْنًۭا يَشْرَبُ بِهَا ٱلْمُقَرَّبُونَ
'Ainaiy yashrabu bihal muqarraboon
Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.
- 83:29
إِنَّ ٱلَّذِينَ أَجْرَمُوا۟ كَانُوا۟ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ يَضْحَكُونَ
Innal lazeena ajramoo kaanoo minal lazeena aamanoo yadhakoon
Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
- 83:30
وَإِذَا مَرُّوا۟ بِهِمْ يَتَغَامَزُونَ
Wa izaa marroo bihim yataghaamazoon
Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.
- 83:31
وَإِذَا ٱنقَلَبُوٓا۟ إِلَىٰٓ أَهْلِهِمُ ٱنقَلَبُوا۟ فَكِهِينَ
Wa izan qalabooo ilaaa ahlihimun qalaboo fakiheen
Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.
- 83:32
وَإِذَا رَأَوْهُمْ قَالُوٓا۟ إِنَّ هَٰٓؤُلَآءِ لَضَآلُّونَ
Wa izaa ra awhum qaalooo inna haaa'ulaaa'i ladaaal loon
Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
- 83:33
وَمَآ أُرْسِلُوا۟ عَلَيْهِمْ حَٰفِظِينَ
Wa maaa ursiloo 'alaihim haafizeen
Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao.
- 83:34
فَٱلْيَوْمَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ مِنَ ٱلْكُفَّارِ يَضْحَكُونَ
Fal yawmal lazeena aamanoo minal kuffaari yadhakoon
Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,
- 83:35
عَلَى ٱلْأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ
'Alal araaa'iki yanzuroon
Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
- 83:36
هَلْ ثُوِّبَ ٱلْكُفَّارُ مَا كَانُوا۟ يَفْعَلُونَ
Hal suwwibal kuffaaru maa kaanoo yaf'aloon
Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda?
About Surah Al-Mutaffifin
Al-Mutaffifin, the Defrauding, opens with a warning to those who cheat in weights and measures, taking full measure for themselves while shortchanging others. It contrasts the record of the wicked with that of the righteous, whose reward is a sealed, pure drink in gardens of delight. Its theme is honesty and justice.
Themes: Honesty in dealings, Justice, Records of deeds, Reward and loss
Arabic: Uthmani script (Hafs). Translation: Swahili. Recitation: Mishary Rashid Alafasy. See Sources for full attribution.