Surah Al-Waqi'ah (undefined) is the 56th chapter of the Holy Quran. It was revealed in Mecca and contains 96 verses (ayahs). Read it below with the Arabic text, transliteration, and Swahili translation, or open it as interactive flashcards to memorize it verse by verse.
- 56:1
إِذَا وَقَعَتِ ٱلْوَاقِعَةُ
Izaa waqa'atil waaqi'ah
Litakapo tukia hilo Tukio
- 56:2
لَيْسَ لِوَقْعَتِهَا كَاذِبَةٌ
Laisa liwaq'atihaa kaazibah
Hapana cha kukanusha kutukia kwake.
- 56:3
خَافِضَةٌۭ رَّافِعَةٌ
Khafidatur raafi'ah
Literemshalo linyanyualo,
- 56:4
إِذَا رُجَّتِ ٱلْأَرْضُ رَجًّۭا
Izaa rujjatil ardu rajjaa
Itakapo tikiswa ardhi kwa mtikiso,
- 56:5
وَبُسَّتِ ٱلْجِبَالُ بَسًّۭا
Wa bussatil jibaalu bassaa
Na milima itapo sagwasagwa,
- 56:6
فَكَانَتْ هَبَآءًۭ مُّنۢبَثًّۭا
Fakaanat habaaa'am mumbassaa
Iwe mavumbi yanayo peperushwa,
- 56:7
وَكُنتُمْ أَزْوَٰجًۭا ثَلَٰثَةًۭ
Wa kuntum azwaajan salaasah
Na nyinyi mtakuwa namna tatu:-
- 56:8
فَأَصْحَٰبُ ٱلْمَيْمَنَةِ مَآ أَصْحَٰبُ ٱلْمَيْمَنَةِ
Fa as haabul maimanati maaa as haabul maimanah
Basi watakuwepo wa kuliani; je, ni wepi wa kuliani?
- 56:9
وَأَصْحَٰبُ ٱلْمَشْـَٔمَةِ مَآ أَصْحَٰبُ ٱلْمَشْـَٔمَةِ
Wa as haabul mash'amati maaa as haabul mash'amah
Na wa kushotoni; je, ni wepi wa kushotoni?
- 56:10
وَٱلسَّٰبِقُونَ ٱلسَّٰبِقُونَ
Wassaabiqoonas saabiqoon
Na wa mbele watakuwa mbele.
- 56:11
أُو۟لَٰٓئِكَ ٱلْمُقَرَّبُونَ
Ulaaa'ikal muqarraboon
Hao ndio watakao karibishwa
- 56:12
فِى جَنَّٰتِ ٱلنَّعِيمِ
Fee Jannaatin Na'eem
Katika Bustani zenye neema.
- 56:13
ثُلَّةٌۭ مِّنَ ٱلْأَوَّلِينَ
Sullatum minal awwaleen
Fungu kubwa katika wa mwanzo,
- 56:14
وَقَلِيلٌۭ مِّنَ ٱلْءَاخِرِينَ
Wa qaleelum minal aa khireen
Na wachache katika wa mwisho.
- 56:15
عَلَىٰ سُرُرٍۢ مَّوْضُونَةٍۢ
'Alaa sururim mawdoonah
Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyo tonewa.
- 56:16
مُّتَّكِـِٔينَ عَلَيْهَا مُتَقَٰبِلِينَ
Muttaki'eena 'alaihaa mutaqabileen
Wakiviegemea wakielekeana.
- 56:17
يَطُوفُ عَلَيْهِمْ وِلْدَٰنٌۭ مُّخَلَّدُونَ
Yatoofu 'alaihim wildaa num mukkhalladoon
Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,
- 56:18
بِأَكْوَابٍۢ وَأَبَارِيقَ وَكَأْسٍۢ مِّن مَّعِينٍۢ
Bi akwaabinw wa abaareeq, wa kaasim mim ma'een
Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem safi.
- 56:19
لَّا يُصَدَّعُونَ عَنْهَا وَلَا يُنزِفُونَ
Laa yusadda'oona 'anhaa wa laa yunzifoon
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
- 56:20
وَفَٰكِهَةٍۢ مِّمَّا يَتَخَيَّرُونَ
Wa faakihatim mimmaa yatakhaiyaroon
Na matunda wayapendayo,
- 56:21
وَلَحْمِ طَيْرٍۢ مِّمَّا يَشْتَهُونَ
Wa lahmi tairim mimmaa yashtahoon
Na nyama za ndege kama wanavyo tamani.
- 56:22
وَحُورٌ عِينٌۭ
Wa hoorun'een
Na Mahurulaini,
- 56:23
كَأَمْثَٰلِ ٱللُّؤْلُؤِ ٱلْمَكْنُونِ
Ka amsaalil lu'lu'il maknoon
Walio kama mfano wa lulu zilio hifadhiwa.
- 56:24
جَزَآءًۢ بِمَا كَانُوا۟ يَعْمَلُونَ
Jazaaa'am bimaa kaanoo ya'maloon
Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
- 56:25
لَا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًۭا وَلَا تَأْثِيمًا
Laa yasma'oona feehaa laghwanw wa laa taaseemaa
Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi,
- 56:26
إِلَّا قِيلًۭا سَلَٰمًۭا سَلَٰمًۭا
Illaa qeelan salaaman salaamaa
Isipo kuwa maneno ya Salama, Salama.
- 56:27
وَأَصْحَٰبُ ٱلْيَمِينِ مَآ أَصْحَٰبُ ٱلْيَمِينِ
Wa as haabul yameeni maaa as haabul Yameen
Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?
- 56:28
فِى سِدْرٍۢ مَّخْضُودٍۢ
Fee sidrim makhdood
Katika mikunazi isiyo na miba,
- 56:29
وَطَلْحٍۢ مَّنضُودٍۢ
Wa talhim mandood
Na migomba iliyo pangiliwa,
- 56:30
وَظِلٍّۢ مَّمْدُودٍۢ
Wa zillim mamdood
Na kivuli kilicho tanda,
- 56:31
وَمَآءٍۢ مَّسْكُوبٍۢ
Wa maaa'im maskoob
Na maji yanayo miminika,
- 56:32
وَفَٰكِهَةٍۢ كَثِيرَةٍۢ
Wa faakihatin kaseerah
Na matunda mengi,
- 56:33
لَّا مَقْطُوعَةٍۢ وَلَا مَمْنُوعَةٍۢ
Laa maqtoo'atinw wa laa mamnoo'ah
Hayatindikii wala hayakatazwi,
- 56:34
وَفُرُشٍۢ مَّرْفُوعَةٍ
Wa furushim marfoo'ah
Na matandiko yaliyo nyanyuliwa.
- 56:35
إِنَّآ أَنشَأْنَٰهُنَّ إِنشَآءًۭ
Innaaa anshaanaahunna inshaaa'aa
Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya,
- 56:36
فَجَعَلْنَٰهُنَّ أَبْكَارًا
Faja'alnaahunna abkaaraa
Na tutawafanya vijana,
- 56:37
عُرُبًا أَتْرَابًۭا
'Uruban atraabaa
Wanapendana na waume zao, hirimu moja.
- 56:38
لِّأَصْحَٰبِ ٱلْيَمِينِ
Li as haabil yameen
Kwa ajili ya watu wa kuliani.
- 56:39
ثُلَّةٌۭ مِّنَ ٱلْأَوَّلِينَ
Sullatum minal awwa leen
Fungu kubwa katika wa mwanzo,
- 56:40
وَثُلَّةٌۭ مِّنَ ٱلْءَاخِرِينَ
Wa sullatum minal aakhireen
Na fungu kubwa katika wa mwisho.
- 56:41
وَأَصْحَٰبُ ٱلشِّمَالِ مَآ أَصْحَٰبُ ٱلشِّمَالِ
Wa as haabush shimaali maaa as haabush shimaal
Na watu wa kushotoni; je ni yepi ya wa kushotoni?
- 56:42
فِى سَمُومٍۢ وَحَمِيمٍۢ
Fee samoominw wa hameem
Katika upepo wa moto, na maji yanayo chemka,
- 56:43
وَظِلٍّۢ مِّن يَحْمُومٍۢ
Wa zillim miny yahmoom
Na kivuli cha moshi mweusi,
- 56:44
لَّا بَارِدٍۢ وَلَا كَرِيمٍ
Laa baaridinw wa laa kareem
Si cha kuburudisha wala kustarehesha.
- 56:45
إِنَّهُمْ كَانُوا۟ قَبْلَ ذَٰلِكَ مُتْرَفِينَ
Innaahum kaanoo qabla zaalika mutrafeen
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
- 56:46
وَكَانُوا۟ يُصِرُّونَ عَلَى ٱلْحِنثِ ٱلْعَظِيمِ
Wa kaanoo yusirroona 'alal hinsil 'azeem
Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
- 56:47
وَكَانُوا۟ يَقُولُونَ أَئِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًۭا وَعِظَٰمًا أَءِنَّا لَمَبْعُوثُونَ
Wa kaanoo yaqooloona a'izaa mitnaa wa kunnaa turaabanw wa izaaman'ainnaa lamab'oosoon
Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
- 56:48
أَوَءَابَآؤُنَا ٱلْأَوَّلُونَ
Awa aabaaa'unal awwaloon
Au baba zetu wa zamani?
- 56:49
قُلْ إِنَّ ٱلْأَوَّلِينَ وَٱلْءَاخِرِينَ
Qul innal awwaleena wal aakhireen
Sema: Hakika wa zamani na wa mwisho
- 56:50
لَمَجْمُوعُونَ إِلَىٰ مِيقَٰتِ يَوْمٍۢ مَّعْلُومٍۢ
Lamajmoo'oona ilaa meeqaati yawmim ma'loon
Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.
- 56:51
ثُمَّ إِنَّكُمْ أَيُّهَا ٱلضَّآلُّونَ ٱلْمُكَذِّبُونَ
summa innakum ayyuhad daaalloonal mukazziboon
Kisha nyinyi, mlio potea, mnao kanusha,
- 56:52
لَءَاكِلُونَ مِن شَجَرٍۢ مِّن زَقُّومٍۢ
La aakiloona min shaja rim min zaqqoom
Kwa yakini mtakula mti wa Zaqqumu.
- 56:53
فَمَالِـُٔونَ مِنْهَا ٱلْبُطُونَ
Famaali'oona minhal butoon
Na kwa mti huo mtajaza matumbo.
- 56:54
فَشَٰرِبُونَ عَلَيْهِ مِنَ ٱلْحَمِيمِ
Fashaariboona 'alaihi minal hameem
Na juu yake mtakunywa maji yanayo chemka.
- 56:55
فَشَٰرِبُونَ شُرْبَ ٱلْهِيمِ
Fashaariboona shurbal heem
Tena mtakunywa kama wanavyo kunywa ngamia wenye kiu.
- 56:56
هَٰذَا نُزُلُهُمْ يَوْمَ ٱلدِّينِ
Haazaa nuzuluhum yawmad deen
Hiyo ndiyo karamu yao Siku ya Malipo.
- 56:57
نَحْنُ خَلَقْنَٰكُمْ فَلَوْلَا تُصَدِّقُونَ
Nahnu khalaqnaakum falaw laa tusaddiqoon
Sisi tumekuumbeni; basi hamsadiki?
- 56:58
أَفَرَءَيْتُم مَّا تُمْنُونَ
Afara'aytum maa tumnoon
Je! Mnaiona mbegu ya uzazi mnayo idondokeza?
- 56:59
ءَأَنتُمْ تَخْلُقُونَهُۥٓ أَمْ نَحْنُ ٱلْخَٰلِقُونَ
'A-antum takhluqoo nahooo am nahnul khaaliqoon
Je! Mnaiumba nyinyi, au ni Sisi ndio Waumbaji?
- 56:60
نَحْنُ قَدَّرْنَا بَيْنَكُمُ ٱلْمَوْتَ وَمَا نَحْنُ بِمَسْبُوقِينَ
Nahnu qaddarnaa baina kumul mawta wa maa nahnu bimasbooqeen
Sisi tumekuwekeeni mauti; na wala Sisi hatushindwi
- 56:61
عَلَىٰٓ أَن نُّبَدِّلَ أَمْثَٰلَكُمْ وَنُنشِئَكُمْ فِى مَا لَا تَعْلَمُونَ
'Alaaa an nubaddila amsaalakum wa nunshi'akum fee maa laa ta'lamoon
Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilo lijua.
- 56:62
وَلَقَدْ عَلِمْتُمُ ٱلنَّشْأَةَ ٱلْأُولَىٰ فَلَوْلَا تَذَكَّرُونَ
Wa laqad 'alimtumun nash atal oolaa falaw laa tazakkaroon
Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
- 56:63
أَفَرَءَيْتُم مَّا تَحْرُثُونَ
Afara'aytum maa tahrusoon
Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?
- 56:64
ءَأَنتُمْ تَزْرَعُونَهُۥٓ أَمْ نَحْنُ ٱلزَّٰرِعُونَ
'A-antum tazra'oonahooo am nahnuz zaari'ooon
Je! Ni nyinyi mnayo yaotesha au ni Sisi ndio wenye kuotesha?
- 56:65
لَوْ نَشَآءُ لَجَعَلْنَٰهُ حُطَٰمًۭا فَظَلْتُمْ تَفَكَّهُونَ
Law nashaaa'u laja'al naahu hutaaman fazaltum tafakkahoon
Tungeli taka tungeli yafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu,
- 56:66
إِنَّا لَمُغْرَمُونَ
Innaa lamughramoon
Mkisema: Hakika sisi tumegharimika;
- 56:67
بَلْ نَحْنُ مَحْرُومُونَ
Bal nahnu mahroomoon
Bali sisi tumenyimwa.
- 56:68
أَفَرَءَيْتُمُ ٱلْمَآءَ ٱلَّذِى تَشْرَبُونَ
Afara'aytumul maaa'allazee tashraboon
Je! Mnayaona maji mnayo yanywa?
- 56:69
ءَأَنتُمْ أَنزَلْتُمُوهُ مِنَ ٱلْمُزْنِ أَمْ نَحْنُ ٱلْمُنزِلُونَ
'A-antum anzaltumoohu minal muzni am nahnul munziloon
Je! Ni nyinyi mnayo yateremsha kutoka mawinguni au ni Sisi ndio wenye kuyateremsha?
- 56:70
لَوْ نَشَآءُ جَعَلْنَٰهُ أُجَاجًۭا فَلَوْلَا تَشْكُرُونَ
Law nashaaa'u ja'alnaahu ujaajan falaw laa tashkuroon
Tungeli penda tungeli yafanya ya chumvi. Basi mbona hamshukuru?
- 56:71
أَفَرَءَيْتُمُ ٱلنَّارَ ٱلَّتِى تُورُونَ
Afara'aytumun naaral latee tooroon
Je! Mnauona moto mnao uwasha?
- 56:72
ءَأَنتُمْ أَنشَأْتُمْ شَجَرَتَهَآ أَمْ نَحْنُ ٱلْمُنشِـُٔونَ
'A-antum anshaatum shajaratahaaa am nahnul munshi'oon
Ni nyinyi mlio uumba mti wake au Sisi ndio Waumbaji?
- 56:73
نَحْنُ جَعَلْنَٰهَا تَذْكِرَةًۭ وَمَتَٰعًۭا لِّلْمُقْوِينَ
Nahnu ja'alnaahaa tazkira tanw wa mataa'al lilmuqween
Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
- 56:74
فَسَبِّحْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلْعَظِيمِ
Fasabbih bismi Rabbikal 'azeem
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkuu.
- 56:75
۞ فَلَآ أُقْسِمُ بِمَوَٰقِعِ ٱلنُّجُومِ
Falaa uqsimu bimaawaa qi'innujoom
Basi naapa kwa maanguko ya nyota,
- 56:76
وَإِنَّهُۥ لَقَسَمٌۭ لَّوْ تَعْلَمُونَ عَظِيمٌ
Wa innahoo laqasamul lawta'lamoona'azeem
Na hakika bila ya shaka hichi ni kiapo kikubwa, laiti mngeli jua!
- 56:77
إِنَّهُۥ لَقُرْءَانٌۭ كَرِيمٌۭ
Innahoo la quraanun kareem
Hakika hii bila ya shaka ni Qur'ani Tukufu,
- 56:78
فِى كِتَٰبٍۢ مَّكْنُونٍۢ
Fee kitaabim maknoon
Katika Kitabu kilicho hifadhiwa.
- 56:79
لَّا يَمَسُّهُۥٓ إِلَّا ٱلْمُطَهَّرُونَ
Laa yamassuhooo illal mutahharoon
Hapana akigusaye ila walio takaswa.
- 56:80
تَنزِيلٌۭ مِّن رَّبِّ ٱلْعَٰلَمِينَ
Tanzeelum mir Rabbil'aalameen
Ni uteremsho unao toka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
- 56:81
أَفَبِهَٰذَا ٱلْحَدِيثِ أَنتُم مُّدْهِنُونَ
Afabihaazal hadeesi antum mudhinoon
Ni maneno haya ndiyo nyinyi mnayapuuza?
- 56:82
وَتَجْعَلُونَ رِزْقَكُمْ أَنَّكُمْ تُكَذِّبُونَ
Wa taj'aloona rizqakum annakum tukazziboon
Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
- 56:83
فَلَوْلَآ إِذَا بَلَغَتِ ٱلْحُلْقُومَ
Falaw laaa izaa balaghatil hulqoom
Yawaje basi itakapo fika roho kwenye koo,
- 56:84
وَأَنتُمْ حِينَئِذٍۢ تَنظُرُونَ
Wa antum heena'izin tanzuroon
Na nyinyi wakati huo mnatazama!
- 56:85
وَنَحْنُ أَقْرَبُ إِلَيْهِ مِنكُمْ وَلَٰكِن لَّا تُبْصِرُونَ
Wa nahnu aqrabu ilaihi minkum wa laakil laa tubsiroon
Na Sisi tuko karibu zaidi naye kuliko nyinyi.
- 56:86
فَلَوْلَآ إِن كُنتُمْ غَيْرَ مَدِينِينَ
Falaw laaa in kuntum ghira madeeneen
Na lau kuwa nyinyi hamumo katika mamlaka yangu,
- 56:87
تَرْجِعُونَهَآ إِن كُنتُمْ صَٰدِقِينَ
Tarji'oonahaaa in kuntum saadiqeen
Kwanini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
- 56:88
فَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلْمُقَرَّبِينَ
Fa ammaaa in kaana minal muqarrabeen
Basi akiwa miongoni mwa walio karibishwa,
- 56:89
فَرَوْحٌۭ وَرَيْحَانٌۭ وَجَنَّتُ نَعِيمٍۢ
Farawhunw wa raihaa nunw wa jannatu na'eem
Basi ni raha, na manukato, na Bustani zenye neema.
- 56:90
وَأَمَّآ إِن كَانَ مِنْ أَصْحَٰبِ ٱلْيَمِينِ
Wa ammaaa in kaana min as haabil yameen
Na akiwa katika watu wa upande wa kulia,
- 56:91
فَسَلَٰمٌۭ لَّكَ مِنْ أَصْحَٰبِ ٱلْيَمِينِ
Fasalaamul laka min as haabil yameen
Basi ni Salamu kwako uliye miongoni mwa watu wa upande wa kulia.
- 56:92
وَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلْمُكَذِّبِينَ ٱلضَّآلِّينَ
Wa ammaaa in kaana minal mukazzibeenad daaalleen
Na ama akiwa katika walio kadhibisha wapotovu,
- 56:93
فَنُزُلٌۭ مِّنْ حَمِيمٍۢ
Fanuzulum min hameem
Basi karamu yake ni maji yanayo chemka,
- 56:94
وَتَصْلِيَةُ جَحِيمٍ
Wa tasliyatu jaheem
Na kutiwa Motoni.
- 56:95
إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ حَقُّ ٱلْيَقِينِ
Inna haaza lahuwa haqqul yaqeen
Hakika hii ndiyo haki yenye yakini.
- 56:96
فَسَبِّحْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلْعَظِيمِ
Fasabbih bismi rabbikal 'azeem
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkubwa.
About Surah Al-Waqi'ah
Al-Waqi'ah, the Inevitable, describes the Day of Judgment when people will be sorted into three groups: those brought near, the people of the right, and the people of the left. It paints clear pictures of reward and loss, then points to the food we eat, the water we drink, and the fire we kindle as signs of the Creator's power.
Themes: The three groups, Reward and loss, Signs of the Creator, The Day of Judgment
Arabic: Uthmani script (Hafs). Translation: Swahili. Recitation: Mishary Rashid Alafasy. See Sources for full attribution.