All Surahs

Surah Al-Qamar (undefined)

سُورَةُ القَمَرِ

Surah 54 of the Holy Quran · Meccan · 55 verses

Also spelled: Qamar, Al Qamar, AlQamar, The Moon

Surah Al-Qamar (undefined) is the 54th chapter of the Holy Quran. It was revealed in Mecca and contains 55 verses (ayahs). Read it below with the Arabic text, transliteration, and Swahili translation, or open it as interactive flashcards to memorize it verse by verse.

  1. 54:1

    ٱقْتَرَبَتِ ٱلسَّاعَةُ وَٱنشَقَّ ٱلْقَمَرُ

    Iqtarabatis Saa'atu wsan shaqqal qamar

    Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!

  2. 54:2

    وَإِن يَرَوْا۟ ءَايَةًۭ يُعْرِضُوا۟ وَيَقُولُوا۟ سِحْرٌۭ مُّسْتَمِرٌّۭ

    Wa iny yaraw aayatany yu'ridoo wa yaqooloo sihrum mustamirr

    Na wakiona Ishara hugeuka upande na husema: Huu uchawi tu unazidi kuendelea.

  3. 54:3

    وَكَذَّبُوا۟ وَٱتَّبَعُوٓا۟ أَهْوَآءَهُمْ ۚ وَكُلُّ أَمْرٍۢ مُّسْتَقِرٌّۭ

    Wa kazzaboo wattaba'ooo ahwaaa'ahum; wa kullu amrim mustaqirr

    Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.

  4. 54:4

    وَلَقَدْ جَآءَهُم مِّنَ ٱلْأَنۢبَآءِ مَا فِيهِ مُزْدَجَرٌ

    Wa laqad jaaa'ahum minal ambaaa'i maa feehi muzdajar

    Na bila ya shaka zimewajia khabari zenye makaripio.

  5. 54:5

    حِكْمَةٌۢ بَٰلِغَةٌۭ ۖ فَمَا تُغْنِ ٱلنُّذُرُ

    Hikmatum baalighatun famaa tughnin nuzur

    Hikima kaamili; lakini maonyo hayafai kitu!

  6. 54:6

    فَتَوَلَّ عَنْهُمْ ۘ يَوْمَ يَدْعُ ٱلدَّاعِ إِلَىٰ شَىْءٍۢ نُّكُرٍ

    Fatawalla 'anhum; yawma yad'ud daa'i ilaa shai 'in nukur

    Basi jiepushe nao. Siku atakapo ita mwitaji kuliendea jambo linalo chusha;

  7. 54:7

    خُشَّعًا أَبْصَٰرُهُمْ يَخْرُجُونَ مِنَ ٱلْأَجْدَاثِ كَأَنَّهُمْ جَرَادٌۭ مُّنتَشِرٌۭ

    khushsha'an absaaruhum yakrujoona minal ajdaasi ka annahum jaraadum muntashir

    Macho yao yatainama; watatoka makaburini kama nzige walio tawanyika,

  8. 54:8

    مُّهْطِعِينَ إِلَى ٱلدَّاعِ ۖ يَقُولُ ٱلْكَٰفِرُونَ هَٰذَا يَوْمٌ عَسِرٌۭ

    Muhti'eena ilad daa'i yaqoolul kafiroona haazaa yawmun 'asir

    Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.

  9. 54:9

    ۞ كَذَّبَتْ قَبْلَهُمْ قَوْمُ نُوحٍۢ فَكَذَّبُوا۟ عَبْدَنَا وَقَالُوا۟ مَجْنُونٌۭ وَٱزْدُجِرَ

    Kazzabat qablahum qawmu Noohin fakazzaboo 'abdanaa wa qaaloo majnoo nunw wazdujir

    Kabla yao kaumu ya Nuhu walikanusha; wakamkanusha mja wetu, na wakasema ni mwendawazimu, na akakaripiwa.

  10. 54:10

    فَدَعَا رَبَّهُۥٓ أَنِّى مَغْلُوبٌۭ فَٱنتَصِرْ

    Fada'aa Rabbahooo annee maghloobun fantasir

    Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru!

  11. 54:11

    فَفَتَحْنَآ أَبْوَٰبَ ٱلسَّمَآءِ بِمَآءٍۢ مُّنْهَمِرٍۢ

    Fafatahnaaa abwaabas sa maaa'i bimaa'im munhamir

    Basi tukaifungua milango ya mbingu kwa maji yanayo miminika.

  12. 54:12

    وَفَجَّرْنَا ٱلْأَرْضَ عُيُونًۭا فَٱلْتَقَى ٱلْمَآءُ عَلَىٰٓ أَمْرٍۢ قَدْ قُدِرَ

    Wa fajjamal arda 'uyoonan faltaqal maaa'u 'alaaa amrin qad qudir

    Na tukazipasua ardhi kwa chemchem, yakakutana maji kwa jambo lilio kadiriwa.

  13. 54:13

    وَحَمَلْنَٰهُ عَلَىٰ ذَاتِ أَلْوَٰحٍۢ وَدُسُرٍۢ

    Wa hamalnaahu 'alaa zaati alwaahinw wa dusur

    Na tukamchukua kwenye safina ya mbao na kamba.

  14. 54:14

    تَجْرِى بِأَعْيُنِنَا جَزَآءًۭ لِّمَن كَانَ كُفِرَ

    Tajree bi a'yuninaa jazaaa 'al liman kaana kufir

    Ikawa inakwenda kwa nadhari yetu, kuwa ni malipo kwa alivyo kuwa amekanushwa.

  15. 54:15

    وَلَقَد تَّرَكْنَٰهَآ ءَايَةًۭ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍۢ

    Wa laqat taraknaahaad aayatan fahal mim muddakir

    Na bila ya shaka tuliiacha iwe ni Ishara. Lakini je, yupo anaye kumbuka?

  16. 54:16

    فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِى وَنُذُرِ

    Fakaifa kaana 'azaabee wa nuzur

    Basi ilikuwaje adhabu yangu, na maonyo yangu.

  17. 54:17

    وَلَقَدْ يَسَّرْنَا ٱلْقُرْءَانَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍۢ

    Wa laqad yassamal Quraana liz zikri fahal mimmuddakir

    Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kufahamika. Lakini yupo anaye kumbuka?

  18. 54:18

    كَذَّبَتْ عَادٌۭ فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِى وَنُذُرِ

    Kazzabat 'Aadun fakaifa kaana 'azaabee wa nuzur

    Kina A'di walikanusha. Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?

  19. 54:19

    إِنَّآ أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمْ رِيحًۭا صَرْصَرًۭا فِى يَوْمِ نَحْسٍۢ مُّسْتَمِرٍّۢ

    Innaa arsalnaa 'alaihim reehan sarsaran fee Yawmi nahsim mustamirr

    Hakika Sisi tuliwapelekea upepo wa kimbunga katika siku korofi mfululizo,

  20. 54:20

    تَنزِعُ ٱلنَّاسَ كَأَنَّهُمْ أَعْجَازُ نَخْلٍۢ مُّنقَعِرٍۢ

    Tanzi;un naasa ka anna huma'jaazu nakhlim munqa'ir

    Ukiwang'oa watu kama vigogo vya mitende vilio ng'olewa.

  21. 54:21

    فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِى وَنُذُرِ

    'Fakaifa kaana 'azaabee wa nuzur

    Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?

  22. 54:22

    وَلَقَدْ يَسَّرْنَا ٱلْقُرْءَانَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍۢ

    Wa laqad yassamal Quraana liz zikri fahal mim muddakir

    Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani nyepesi kufahamika; lakini yupo anaye kumbuka?

  23. 54:23

    كَذَّبَتْ ثَمُودُ بِٱلنُّذُرِ

    Kazzabat Samoodu binnuzur

    Thamudi waliwakanusha Waonyaji.

  24. 54:24

    فَقَالُوٓا۟ أَبَشَرًۭا مِّنَّا وَٰحِدًۭا نَّتَّبِعُهُۥٓ إِنَّآ إِذًۭا لَّفِى ضَلَٰلٍۢ وَسُعُرٍ

    Faqaalooo a-basharam minnaa waahidan nattabi'uhooo innaa izal lafee dalaalinw wa su'ur

    Wakasema: Ati tumfuate binaadamu mmoja katika sisi? Basi hivyo sisi tutakuwa katika upotofu na kichaa!

  25. 54:25

    أَءُلْقِىَ ٱلذِّكْرُ عَلَيْهِ مِنۢ بَيْنِنَا بَلْ هُوَ كَذَّابٌ أَشِرٌۭ

    'A-ulqiyaz zikru 'alaihi mim baininaa bal huwa kazzaabun ashir

    Ni yeye tu aliye teremshiwa huo ukumbusho kati yetu sote? Bali huyu ni mwongo mwenye kiburi!

  26. 54:26

    سَيَعْلَمُونَ غَدًۭا مَّنِ ٱلْكَذَّابُ ٱلْأَشِرُ

    Sa-ya'lamoona ghadam manil kazzaabul ashir

    Kesho watajua ni nani huyo mwongo mwenye kiburi.

  27. 54:27

    إِنَّا مُرْسِلُوا۟ ٱلنَّاقَةِ فِتْنَةًۭ لَّهُمْ فَٱرْتَقِبْهُمْ وَٱصْطَبِرْ

    Innaa mursilun naaqati fitnatal lahum fartaqibhum wastabir

    Hakika Sisi tutawapelekea ngamia jike ili kuwajaribu, basi watazame tu na ustahamili.

  28. 54:28

    وَنَبِّئْهُمْ أَنَّ ٱلْمَآءَ قِسْمَةٌۢ بَيْنَهُمْ ۖ كُلُّ شِرْبٍۢ مُّحْتَضَرٌۭ

    Wa nabbi'hum annal maaa'a qismatum bainahum kullu shirbim muhtadar

    Na waambie kwamba maji yatagawanywa baina yao; kila sehemu ya maji itahudhuriwa na aliye khusika.

  29. 54:29

    فَنَادَوْا۟ صَاحِبَهُمْ فَتَعَاطَىٰ فَعَقَرَ

    Fanaadaw saahibahum fata'aataa fa'aqar

    Basi wakamwita mtu wao akaja akamchinja.

  30. 54:30

    فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِى وَنُذُرِ

    Fakaifa kaana 'azaabee wa nuzur

    Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu!

  31. 54:31

    إِنَّآ أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمْ صَيْحَةًۭ وَٰحِدَةًۭ فَكَانُوا۟ كَهَشِيمِ ٱلْمُحْتَظِرِ

    Innaaa arsalnaa 'alaihim saihatanw waahidatan fakaano kahasheemil muhtazir

    Hakika Sisi tuliwapelekea ukelele mmoja tu, wakawa kama mabuwa ya kujengea uwa.

  32. 54:32

    وَلَقَدْ يَسَّرْنَا ٱلْقُرْءَانَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍۢ

    Wa laqad yassarnal quraana liz zikri fahal mim muddakir

    Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kwa kukumbuka, lakini yupo akumbukaye?

  33. 54:33

    كَذَّبَتْ قَوْمُ لُوطٍۭ بِٱلنُّذُرِ

    Kazzabat qawmu lootim binnuzur

    Kaumu Lut'i nao waliwakadhibisha Waonyaji.

  34. 54:34

    إِنَّآ أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمْ حَاصِبًا إِلَّآ ءَالَ لُوطٍۢ ۖ نَّجَّيْنَٰهُم بِسَحَرٍۢ

    Innaa arsalnaa 'alaihim haasiban illaaa aala Loot najjainaahum bisahar

    Hakika Sisi tukawapelekea kimbunga cha vijiwe, isipo kuwa wafuasi wa Lut'i. Hao tuliwaokoa karibu na alfajiri.

  35. 54:35

    نِّعْمَةًۭ مِّنْ عِندِنَا ۚ كَذَٰلِكَ نَجْزِى مَن شَكَرَ

    Ni'matam min 'indinaa; kazaalika najzee man shakar

    Kwa neema inayo toka kwetu. Hivyo ndivyo tumlipavyo anaye shukuru.

  36. 54:36

    وَلَقَدْ أَنذَرَهُم بَطْشَتَنَا فَتَمَارَوْا۟ بِٱلنُّذُرِ

    Wa laqad anzarahum batshatanaa fatamaaraw binnuzur

    Na hakika yeye aliwaonya adhabu yetu; lakini wao waliyatilia shaka hayo maonyo.

  37. 54:37

    وَلَقَدْ رَٰوَدُوهُ عَن ضَيْفِهِۦ فَطَمَسْنَآ أَعْيُنَهُمْ فَذُوقُوا۟ عَذَابِى وَنُذُرِ

    Wa laqad raawadoohu 'andaifee fatamasnaaa a'yunahum fazooqoo 'azaabee wa nuzur

    Na walimtaka awape wageni wake. Tukayapofua macho yao, na tukawaambia: Onjeni basi adhabu na maonyo yangu!

  38. 54:38

    وَلَقَدْ صَبَّحَهُم بُكْرَةً عَذَابٌۭ مُّسْتَقِرٌّۭ

    Wa laqad sabbahahum bukratan 'azaabum mustaqirr

    Na iliwafikia wakati wa asubuhi adhabu yangu ya kuendelea.

  39. 54:39

    فَذُوقُوا۟ عَذَابِى وَنُذُرِ

    Fazooqoo 'azaabee wa nuzur

    Basi onjeni adhabu na maonyo yangu!

  40. 54:40

    وَلَقَدْ يَسَّرْنَا ٱلْقُرْءَانَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍۢ

    Wa laqad yassarnal Quraana liz zikri fahal mim muddakir

    Na hakika tumeisahilisha Qur'ani kuikumbuka. Lakini yupo anaye kumbuka?

  41. 54:41

    وَلَقَدْ جَآءَ ءَالَ فِرْعَوْنَ ٱلنُّذُرُ

    Wa laqad jaaa'a Aala Fir'awnan nuzur

    Na Waonyaji waliwafikia watu wa Firauni.

  42. 54:42

    كَذَّبُوا۟ بِـَٔايَٰتِنَا كُلِّهَا فَأَخَذْنَٰهُمْ أَخْذَ عَزِيزٍۢ مُّقْتَدِرٍ

    Kazzaboo bi Aayaatinaa kullihaa fa akhaznaahum akhza 'azeezim muqtadir

    Walizikadhibisha Ishara zetu zote, nasi tukawashika kama anavyo shika Mwenye nguvu Mwenye uweza.

  43. 54:43

    أَكُفَّارُكُمْ خَيْرٌۭ مِّنْ أُو۟لَٰٓئِكُمْ أَمْ لَكُم بَرَآءَةٌۭ فِى ٱلزُّبُرِ

    Akuffaarukum khairum min ulaaa'ikum am lakum baraaa'atun fiz Zubur

    Je! Makafiri wenu ni bora kuliko hao, au yameandikwa vitabuni kuwa nyinyi hamtiwi makosani?

  44. 54:44

    أَمْ يَقُولُونَ نَحْنُ جَمِيعٌۭ مُّنتَصِرٌۭ

    Am yaqooloona nahnu jamee'um muntasir

    Au ndio wanasema: Sisi ni wengi tutashinda tu.

  45. 54:45

    سَيُهْزَمُ ٱلْجَمْعُ وَيُوَلُّونَ ٱلدُّبُرَ

    Sa yuhzamul jam'u wa yuwalloonad dubur

    Wingi wao huu utashindwa, na wao watasukumwa nyuma.

  46. 54:46

    بَلِ ٱلسَّاعَةُ مَوْعِدُهُمْ وَٱلسَّاعَةُ أَدْهَىٰ وَأَمَرُّ

    Balis Saa'atu maw'iduhum was Saa'atu adhaa wa amarr

    Bali Saa ya Kiyama ndio miadi yao, na Saa hiyo ni nzito zaidi na chungu zaidi.

  47. 54:47

    إِنَّ ٱلْمُجْرِمِينَ فِى ضَلَٰلٍۢ وَسُعُرٍۢ

    Innal mujrimeena fee dalaalinw wa su'ur

    Hakika wakosefu wamo katika upotofu na wazimu.

  48. 54:48

    يَوْمَ يُسْحَبُونَ فِى ٱلنَّارِ عَلَىٰ وُجُوهِهِمْ ذُوقُوا۟ مَسَّ سَقَرَ

    Yawma yushaboona fin Naari'alaa wujoohimim zooqoo massa saqar

    Siku watakapo kokotwa Motoni kifudifudi waambiwe: Onjeni mguso wa Jahannamu!

  49. 54:49

    إِنَّا كُلَّ شَىْءٍ خَلَقْنَٰهُ بِقَدَرٍۢ

    Innaa kulla shai'in khalaqnaahu biqadar

    Kwa hakika Sisi tumekiumba kila kitu kwa kipimo.

  50. 54:50

    وَمَآ أَمْرُنَآ إِلَّا وَٰحِدَةٌۭ كَلَمْحٍۭ بِٱلْبَصَرِ

    Wa maaa amrunaaa illaa waahidatun kalamhim bilbasar

    Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.

  51. 54:51

    وَلَقَدْ أَهْلَكْنَآ أَشْيَاعَكُمْ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍۢ

    Wa laqad ahlaknaaa ashyaa'akum fahal mim muddakir

    Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?

  52. 54:52

    وَكُلُّ شَىْءٍۢ فَعَلُوهُ فِى ٱلزُّبُرِ

    Wa kullu shai'in fa'aloohu fiz Zubur

    Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.

  53. 54:53

    وَكُلُّ صَغِيرٍۢ وَكَبِيرٍۢ مُّسْتَطَرٌ

    Wa kullu sagheerinw wa kabeerim mustatar

    Na kila kidogo na kikubwa kimeandikwa.

  54. 54:54

    إِنَّ ٱلْمُتَّقِينَ فِى جَنَّٰتٍۢ وَنَهَرٍۢ

    Innal muttaqeena fee jannaatinw wa nahar

    Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na mito.

  55. 54:55

    فِى مَقْعَدِ صِدْقٍ عِندَ مَلِيكٍۢ مُّقْتَدِرٍۭ

    Fee maq'adi sidqin 'inda Maleekim Muqtadir

    Katika makalio ya haki kwa Mfalme Mwenye uweza.

About Surah Al-Qamar

Al-Qamar, the Moon, opens with the splitting of the moon as a sign and repeats a striking refrain: that Allah has made the Quran easy to remember, so is there anyone who will take heed. It recalls the nations of Nuh, 'Ad, Thamud, Lut, and Pharaoh, each warned and each accountable. The rhythm makes it memorable and sobering.

Themes: The splitting of the moon, The Quran made easy, Past nations, Taking heed

Arabic: Uthmani script (Hafs). Translation: Swahili. Recitation: Mishary Rashid Alafasy. See Sources for full attribution.