All Surahs

Surah Ad-Dukhan (undefined)

سُورَةُ الدُّخَانِ

Surah 44 of the Holy Quran · Meccan · 59 verses

Also spelled: Dukhan, Ad Dukhan, AdDukhan, The Smoke, Ad-Dukhaan

Surah Ad-Dukhan (undefined) is the 44th chapter of the Holy Quran. It was revealed in Mecca and contains 59 verses (ayahs). Read it below with the Arabic text, transliteration, and Swahili translation, or open it as interactive flashcards to memorize it verse by verse.

  1. 44:1

    حمٓ

    Haa Meeem

    H'a Mim

  2. 44:2

    وَٱلْكِتَٰبِ ٱلْمُبِينِ

    Wal Kitaabil Mubeen

    Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha,

  3. 44:3

    إِنَّآ أَنزَلْنَٰهُ فِى لَيْلَةٍۢ مُّبَٰرَكَةٍ ۚ إِنَّا كُنَّا مُنذِرِينَ

    Innaaa anzalnaahu fee lailatim mubaarakah; innaa kunnaa munzireen

    Hakika tumekiteremsha katika usiku ulio barikiwa. Hakika Sisi ni Waonyaji.

  4. 44:4

    فِيهَا يُفْرَقُ كُلُّ أَمْرٍ حَكِيمٍ

    Feehaa yufraqu kullu amrin hakeem

    Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima,

  5. 44:5

    أَمْرًۭا مِّنْ عِندِنَآ ۚ إِنَّا كُنَّا مُرْسِلِينَ

    Amram min 'indinaaa; innaa kunnaa mursileen

    Jambo litokalo kwetu. Hakika Sisi ndio wenye kutuma.

  6. 44:6

    رَحْمَةًۭ مِّن رَّبِّكَ ۚ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلسَّمِيعُ ٱلْعَلِيمُ

    Rahmatam mir rabbik; innahoo Huwas Samee'ul 'Aleem

    Ni rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia Mwenye kujua.

  7. 44:7

    رَبِّ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَآ ۖ إِن كُنتُم مُّوقِنِينَ

    Rabbis samaawaati wal ardi wa maa bainahumaa; in kuntum mooqineen

    Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilio baina yao, ikiwa nyinyi mna yakini.

  8. 44:8

    لَآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ يُحْىِۦ وَيُمِيتُ ۖ رَبُّكُمْ وَرَبُّ ءَابَآئِكُمُ ٱلْأَوَّلِينَ

    Laaa ilaaha illaa Huwa yuhyee wa yumeetu Rabbukum wa Rabbu aabaaa'ikumul awwaleen

    Hakuna mungu ila Yeye; anahuisha na anafisha- Mola Mlezi wenu na Mola Mlezi wa baba zenu wa mwanzo.

  9. 44:9

    بَلْ هُمْ فِى شَكٍّۢ يَلْعَبُونَ

    Bal hum fee shakkiny yal'aboon

    Lakini wao wanacheza katika shaka.

  10. 44:10

    فَٱرْتَقِبْ يَوْمَ تَأْتِى ٱلسَّمَآءُ بِدُخَانٍۢ مُّبِينٍۢ

    Fartaqib Yawma taatis samaaa'u bidukhaanim mubeen

    Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapo leta moshi ulio dhaahiri,

  11. 44:11

    يَغْشَى ٱلنَّاسَ ۖ هَٰذَا عَذَابٌ أَلِيمٌۭ

    Yaghshan naasa haazaa 'azaabun aleem

    Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu!

  12. 44:12

    رَّبَّنَا ٱكْشِفْ عَنَّا ٱلْعَذَابَ إِنَّا مُؤْمِنُونَ

    Rabbanak shif 'annal 'azaaba innaa mu'minoon

    Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu hii. Hakika tutaamini.

  13. 44:13

    أَنَّىٰ لَهُمُ ٱلذِّكْرَىٰ وَقَدْ جَآءَهُمْ رَسُولٌۭ مُّبِينٌۭ

    Annaa lahumuz zikraa wa qad jaaa'ahum Rasoolum mubeen

    Nini faida ya kukumbuka kwao? Na alikwisha wafikia Mtume mwenye kubainisha.

  14. 44:14

    ثُمَّ تَوَلَّوْا۟ عَنْهُ وَقَالُوا۟ مُعَلَّمٌۭ مَّجْنُونٌ

    Summaa tawallaw 'anhu wa qaaloo mu'allamum majnoon

    Na wao wakamgeuzia uso, na wakasema: Huyu amefunzwa, naye ni mwendawazimu.

  15. 44:15

    إِنَّا كَاشِفُوا۟ ٱلْعَذَابِ قَلِيلًا ۚ إِنَّكُمْ عَآئِدُونَ

    Innaa kaashiful 'azaabi qaleelaa; innakum 'aaa'indoon

    Hakika sisi tutaiondoa adhabu kidogo, lakini nyinyi kwa yakini mtarejea vile vile!

  16. 44:16

    يَوْمَ نَبْطِشُ ٱلْبَطْشَةَ ٱلْكُبْرَىٰٓ إِنَّا مُنتَقِمُونَ

    Yawma nabtishul batsha tal kubraa innaa muntaqimoon

    Siku tutayo yashambulia mashambulio makubwa, bila ya shaka Sisi ni wenye kutesa.

  17. 44:17

    ۞ وَلَقَدْ فَتَنَّا قَبْلَهُمْ قَوْمَ فِرْعَوْنَ وَجَآءَهُمْ رَسُولٌۭ كَرِيمٌ

    Wa laqad fatannaa qablahum qawma Fir'awna wa jaaa'ahum Rasoolun kareem

    Na hakika kabla ya hawa tuliwafanyia mtihani watu wa Firauni, na aliwafikia Mtume Mtukufu.

  18. 44:18

    أَنْ أَدُّوٓا۟ إِلَىَّ عِبَادَ ٱللَّهِ ۖ إِنِّى لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌۭ

    An addooo ilaiya 'ibaadal laahi innee lakum Rasoolun ameen

    Akasema: Nipeni waja wa Mwenyezi Mungu; kwa hakika mimi kwenu ni Mtume Muaminifu.

  19. 44:19

    وَأَن لَّا تَعْلُوا۟ عَلَى ٱللَّهِ ۖ إِنِّىٓ ءَاتِيكُم بِسُلْطَٰنٍۢ مُّبِينٍۢ

    Wa al laa ta'loo 'alal laahi innee aateekum bisultaanim mubeen

    Na msimfanyie kiburi Mwenyezi Mungu; hakika mimi nitakuleteeni uthibitisho ulio wazi.

  20. 44:20

    وَإِنِّى عُذْتُ بِرَبِّى وَرَبِّكُمْ أَن تَرْجُمُونِ

    Wa innee 'uztu bi Rabbee wa rabbikum an tarjumoon

    Nami najikinga kwa Mola wangu Mlezi na ndiye Mola wenu Mlezi pia, ili msinipige mawe.

  21. 44:21

    وَإِن لَّمْ تُؤْمِنُوا۟ لِى فَٱعْتَزِلُونِ

    Wa il lam tu'minoo lee fa'taziloon

    Na ikiwa hamniamini, basi jitengeni nami.

  22. 44:22

    فَدَعَا رَبَّهُۥٓ أَنَّ هَٰٓؤُلَآءِ قَوْمٌۭ مُّجْرِمُونَ

    Fada'aa rabbahooo anna haaa'ulaaa'i qawmum mujrimoon

    Ndipo akamwomba Mola wake Mlezi: Hakika watu hawa ni wakosefu.

  23. 44:23

    فَأَسْرِ بِعِبَادِى لَيْلًا إِنَّكُم مُّتَّبَعُونَ

    Fa asri bi'ibaadee lailan innakum muttaba'oon

    Mwenyezi Mungu akasema: Basi nenda na waja wangu usiku. Kwa yakini mtafuatwa.

  24. 44:24

    وَٱتْرُكِ ٱلْبَحْرَ رَهْوًا ۖ إِنَّهُمْ جُندٌۭ مُّغْرَقُونَ

    Watrukil bahra rahwan innahum jundum mughraqoon

    Na iache bahari vivyo hivyo imeachana, hakika wao hao ni jeshi litakalo zamishwa.

  25. 44:25

    كَمْ تَرَكُوا۟ مِن جَنَّٰتٍۢ وَعُيُونٍۢ

    Kam tarakoo min jannaatinw wa 'uyoon

    Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha!

  26. 44:26

    وَزُرُوعٍۢ وَمَقَامٍۢ كَرِيمٍۢ

    Wa zuroo'inw wa maqaa min kareem

    Na mimea na vyeo vitukufu!

  27. 44:27

    وَنَعْمَةٍۢ كَانُوا۟ فِيهَا فَٰكِهِينَ

    Wa na'matin kaanoo feehaa faakiheen

    Na neema walizo kuwa wakijistareheshea!

  28. 44:28

    كَذَٰلِكَ ۖ وَأَوْرَثْنَٰهَا قَوْمًا ءَاخَرِينَ

    Kazaalika wa awrasnaahaa qawman aakhareen

    Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.

  29. 44:29

    فَمَا بَكَتْ عَلَيْهِمُ ٱلسَّمَآءُ وَٱلْأَرْضُ وَمَا كَانُوا۟ مُنظَرِينَ

    Famaa bakat 'alaihimus samaaa'u wal ardu wa maa kaanoo munzareen

    La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.

  30. 44:30

    وَلَقَدْ نَجَّيْنَا بَنِىٓ إِسْرَٰٓءِيلَ مِنَ ٱلْعَذَابِ ٱلْمُهِينِ

    Wa laqad najjainaa Baneee Israaa'eela minal'azaabil muheen

    Na bila ya shaka tuliwaokoa Wana wa Israili katika adhabu ya kuwadhalilisha,

  31. 44:31

    مِن فِرْعَوْنَ ۚ إِنَّهُۥ كَانَ عَالِيًۭا مِّنَ ٱلْمُسْرِفِينَ

    Min Fir'awn; innahoo kaana 'aaliyam minal musrifeen

    Ya Firauni. Hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka.

  32. 44:32

    وَلَقَدِ ٱخْتَرْنَٰهُمْ عَلَىٰ عِلْمٍ عَلَى ٱلْعَٰلَمِينَ

    Wa laqadikh tarnaahum 'alaa 'ilmin 'alal 'aalameen

    Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.

  33. 44:33

    وَءَاتَيْنَٰهُم مِّنَ ٱلْءَايَٰتِ مَا فِيهِ بَلَٰٓؤٌۭا۟ مُّبِينٌ

    Wa aatainaahum minal aayaati maa feehi balaaa'um mubeen

    Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.

  34. 44:34

    إِنَّ هَٰٓؤُلَآءِ لَيَقُولُونَ

    Inna haaa'ulaaa'i la yaqooloon

    Hakika hawa wanasema:

  35. 44:35

    إِنْ هِىَ إِلَّا مَوْتَتُنَا ٱلْأُولَىٰ وَمَا نَحْنُ بِمُنشَرِينَ

    In hiya illaa mawtatunal oolaa wa maa nahnu bimun shareen

    Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi.

  36. 44:36

    فَأْتُوا۟ بِـَٔابَآئِنَآ إِن كُنتُمْ صَٰدِقِينَ

    Faatoo bi aabaaa'inaaa inkuntum saadiqeen

    Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.

  37. 44:37

    أَهُمْ خَيْرٌ أَمْ قَوْمُ تُبَّعٍۢ وَٱلَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ ۚ أَهْلَكْنَٰهُمْ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا۟ مُجْرِمِينَ

    Ahum khayrun am qawmu Tubba'inw wallazeena min qablihim; ahlaknaahum innahum kaanoo mujrimeen

    Je! Ni wao bora au watu wa Tubbaa' na walio kuwa kabla yao? Tuliwaangamiza. Hakika hao walikuwa wakosefu.

  38. 44:38

    وَمَا خَلَقْنَا ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا لَٰعِبِينَ

    Wa maa khalaqnas samaawaati wal arda wa maa baina humaa laa'ibeen

    Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo baina yake kwa mchezo.

  39. 44:39

    مَا خَلَقْنَٰهُمَآ إِلَّا بِٱلْحَقِّ وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَهُمْ لَا يَعْلَمُونَ

    Maa khalaqnaahumaaa illaa bilhaqqi wa laakinna aksarahum laa ya'lamoon

    Hatukuviumba hivyo ila kwa Haki, lakini wengi wao hawajui.

  40. 44:40

    إِنَّ يَوْمَ ٱلْفَصْلِ مِيقَٰتُهُمْ أَجْمَعِينَ

    Inna yawmal fasli meeqaatuhum ajma'een

    Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao wote.

  41. 44:41

    يَوْمَ لَا يُغْنِى مَوْلًى عَن مَّوْلًۭى شَيْـًۭٔا وَلَا هُمْ يُنصَرُونَ

    Yawma laa yughnee mawlan 'am mawlan shai'anw wa laa hum yunsaroon

    Siku ambayo rafiki hatamfaa rafiki yake kwa chochote, wala hawatanusuriwa.

  42. 44:42

    إِلَّا مَن رَّحِمَ ٱللَّهُ ۚ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ

    Illaa mar rahimal laah' innahoo huwal 'azeezur raheem

    Isipo kuwa atakaye mrehemu Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.

  43. 44:43

    إِنَّ شَجَرَتَ ٱلزَّقُّومِ

    Inna shajarataz zaqqoom

    Hakika Mti wa Zaqqum,

  44. 44:44

    طَعَامُ ٱلْأَثِيمِ

    Ta'aamul aseem

    Ni chakula cha mwenye dhambi.

  45. 44:45

    كَٱلْمُهْلِ يَغْلِى فِى ٱلْبُطُونِ

    Kalmuhli yaghlee filbutoon

    Kama shaba iliyo yayushwa, hutokota matumboni

  46. 44:46

    كَغَلْىِ ٱلْحَمِيمِ

    Kaghalyil hameem

    Kama kutokota kwa maji ya moto.

  47. 44:47

    خُذُوهُ فَٱعْتِلُوهُ إِلَىٰ سَوَآءِ ٱلْجَحِيمِ

    Khuzoohu fa'tiloohu ilaa sawaaa'il Jaheem

    (Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!

  48. 44:48

    ثُمَّ صُبُّوا۟ فَوْقَ رَأْسِهِۦ مِنْ عَذَابِ ٱلْحَمِيمِ

    Summa subboo fawqa raasihee min 'azaabil hameem

    Kisha mmwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji yanayo chemka.

  49. 44:49

    ذُقْ إِنَّكَ أَنتَ ٱلْعَزِيزُ ٱلْكَرِيمُ

    Zuq innaka antal 'azeezul kareem

    Onja! Ati wewe ndiye mwenye nguvu, mtukufu!

  50. 44:50

    إِنَّ هَٰذَا مَا كُنتُم بِهِۦ تَمْتَرُونَ

    Inna haazaa maa kuntum bihee tamtaroon

    Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.

  51. 44:51

    إِنَّ ٱلْمُتَّقِينَ فِى مَقَامٍ أَمِينٍۢ

    Innal muttaqeena fee maqaamin ameen

    Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani,

  52. 44:52

    فِى جَنَّٰتٍۢ وَعُيُونٍۢ

    Fee jannaatinw wa 'uyoon

    Katika mabustani na chemchem,

  53. 44:53

    يَلْبَسُونَ مِن سُندُسٍۢ وَإِسْتَبْرَقٍۢ مُّتَقَٰبِلِينَ

    Yalbasoona min sundusinw wa istbraqim mutaqaabileen

    Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,

  54. 44:54

    كَذَٰلِكَ وَزَوَّجْنَٰهُم بِحُورٍ عِينٍۢ

    Kazaalika wa zawwajnaahum bihoorin 'een

    Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.

  55. 44:55

    يَدْعُونَ فِيهَا بِكُلِّ فَٰكِهَةٍ ءَامِنِينَ

    Yad'oona feehaa bikulli faakihatin aamineen

    Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.

  56. 44:56

    لَا يَذُوقُونَ فِيهَا ٱلْمَوْتَ إِلَّا ٱلْمَوْتَةَ ٱلْأُولَىٰ ۖ وَوَقَىٰهُمْ عَذَابَ ٱلْجَحِيمِ

    Laa yazooqoona feehal mawtaa illal mawtatal oolaa wa qaqaahum 'azaabal jaheem

    Humo hawataonja mauti ila mauti yale ya kwanza, na (Mwenyezi Mungu) atawalinda na adhabu ya Jahannamu,

  57. 44:57

    فَضْلًۭا مِّن رَّبِّكَ ۚ ذَٰلِكَ هُوَ ٱلْفَوْزُ ٱلْعَظِيمُ

    Fadlam mir rabbik; zaalika huwal fawzul 'azeem

    Kuwa ni fadhila zitokazo kwa Mola wako Mlezi. Huko ndiko kufuzu kukubwa.

  58. 44:58

    فَإِنَّمَا يَسَّرْنَٰهُ بِلِسَانِكَ لَعَلَّهُمْ يَتَذَكَّرُونَ

    Fa innamaa yassarnaahu bilisaanika la'allahum yatazakkaroon

    Basi tumeifanya nyepesi hii Qur'ani kwa ulimi wako, ili wapate kukumbuka.

  59. 44:59

    فَٱرْتَقِبْ إِنَّهُم مُّرْتَقِبُونَ

    Fartaqib innahum murta qiboon

    Ngoja tu, na wao wangoje pia.

About Surah Ad-Dukhan

Ad-Dukhan, the Smoke, takes its name from a sign of warning described within it. It speaks of the blessed night in which the Quran was sent down, recalls the story of Musa and Pharaoh, and contrasts the fate of the righteous with that of the arrogant. It is a short, weighty surah about accountability.

Themes: The blessed night, Musa and Pharaoh, Warning, Accountability

Arabic: Uthmani script (Hafs). Translation: Swahili. Recitation: Mishary Rashid Alafasy. See Sources for full attribution.